Mshambuliaji Edin Dzeko akikimbia kushangilia baada ya kuifungia AS Roma bao la kwanza dakika ya 30 kabla ya kuongeza lingine dakika ya 43 na kumsetia Cengiz Under kufunga la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpiki mjini Roma, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment