• HABARI MPYA

    Thursday, October 25, 2018

    SANCHO AFUNGA DORTMUND YAICHAPA 4-0 ATLETICO MADRID

    Kinda Muingereza, Jadon Sancho akimzunguka kipa wa Atletico Madrid, Jan Oblak kabla ya kuifungia Borussia Dortmund bao la tatu dakika ya 83 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund usiku wa jana. Mabao mengine Borussia Dortmund yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 38, Raphael Guerreiro dakika ya 73 na 89 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHO AFUNGA DORTMUND YAICHAPA 4-0 ATLETICO MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top