Kinda Muingereza, Jadon Sancho akimzunguka kipa wa Atletico Madrid, Jan Oblak kabla ya kuifungia Borussia Dortmund bao la tatu dakika ya 83 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund usiku wa jana. Mabao mengine Borussia Dortmund yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 38, Raphael Guerreiro dakika ya 73 na 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment