Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk usiku wa Jumanne Uwanja wa Oblasny Sport Complex Metalist mjini Kharkiv, Ukraine kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Aymeric Laporte dakika ya 35 na Bernardo Silva dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment