• HABARI MPYA

    Wednesday, October 24, 2018

    MAN CITY WASHINDA 3-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk usiku wa Jumanne Uwanja wa Oblasny Sport Complex Metalist mjini Kharkiv, Ukraine kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Aymeric Laporte dakika ya 35 na Bernardo Silva dakika ya 70 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY WASHINDA 3-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top