• HABARI MPYA

    Friday, October 26, 2018

    WELBECK AING'ARISHA ARSENAL, YASHINDA MECHI YA 11 MFULULIZO

    Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 77 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade, huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo kwa kikosi cha kocha Unai Emery 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WELBECK AING'ARISHA ARSENAL, YASHINDA MECHI YA 11 MFULULIZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top