Mshambuliaji Luis Suarez akiruka juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu kwa penalti dakika ya 63 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili, Lionel Messi dakika ya 12 na Ivan Rakitic dakika ya 88, wakati ya Sevilla yalifungwa na Clément Lenglet aliyejifunga dakika ya 79 na Luis Muriel dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment