Mshambuliaji Mjapan wa Leicester City, Shinji Okazaki akiutelezea mpira dhidi ya kipa wa Stoke City, Jack Butland katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Uwanja wa bet365, Staffordshire timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Stoke yalifungwa na Xherdan Shaqiri dakika ya 39 na Peter Crouch dakika ya 73, wakati ya Leicester yamefungwa na Vicente Iborra dakika ya 33 na Riyad Mahrez dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment