Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Simba ilishinda 1-0
Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima akiondoka na mpira dhidi ya wachezaji wa Mbeya City
Kipa wa Mbeya City, Fikirini Bakari akiwa tayari kuokoa mpira unaoelekea kupigwa na John Bocco aliyemuacha chini beki kushoto
Kiungo wa Mbeya City, Mohammed Samatta (kushoto) akimiliki mpira
Kikosi cha Mbeya City kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha Simba kabla ya mchezo wa jana
Louis Rees-Zammit is set to sign for Super Bowl champions Kansas City
Chiefs on a £700,000 training deal - with ex-Wales wing looking to be a
permanent team-mate of Patrick Mahomes and Travis Kelce
-
Louis Rees-Zammit is set for a stunning move to Super Bowl champions Kansas
City Chiefs as the former Wales star inches closer to his NFL dream.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment