Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 21 na 75 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Joel Matip dakika ya 24 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 56, wakati la West Ham limefungwa na Manuel Lanzini dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Taylor Swift spreads Christmas cheer as she supports fiance Travis Kelce
and the Chiefs in their festive fixture
-
A festive Taylor Swift was spotted at Arrowhead Stadium as she hoped for
her NFL fiance Travis Kelce and his teammates deliver the ultimate
Christmas gift:...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment