• HABARI MPYA

    Sunday, November 05, 2017

    CHELSEA YAWACHAPA 1-0 MAN UNITED, BAO LA MORATA

    Mshambuliaji wa Chelsea, Mspaniola Alvaro Morata akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 55 ikiwalaza Manchester United 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAWACHAPA 1-0 MAN UNITED, BAO LA MORATA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top