• HABARI MPYA

    Sunday, November 05, 2017

    MAN UNITED WALIVYOIFUATA CHELSEA KWA KUJIAMINI

    Mshambuliaji nyota, Romelu Lukaku akiburuza beki lake huku Marcos Rojo akipiga picha na shabiki wakati wa safari ya kwenda London jana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya England leo dhidi ya wenyeji, Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge kuanzia Saa 1:30 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED WALIVYOIFUATA CHELSEA KWA KUJIAMINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top