Mshambuliaji wa Paris St Germain, Kylian Mbappe akimzunguka kipa wa Angers, Mathieu Michel kabla ya kufunga lake la pili dakika ya 84 baada ya awali kufunga dakika ya tano katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji wao hao usiku wa jana Uwanja wa Raymond Kopa mjini Angers kwenye mchezo wa Ligue 1. Mabao mengine ya PSG iliyomkosa nyota wake Neymar aliyekuwa anatumikia adhabu ya kadi nyekundu, yalifungwa na Edinson Cavani mawili pia dakika za 30 na 60 na Julian Draxler dakika ya 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment