Mfungaji bora mpya wa kihistoria wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa penalti dakika ya 50 baada ya Nacho Monreal kumchezea rafu Raheem Sterling katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya 19 na Gabriel Jesus dakika ya 74, ingawa alikuwa ameotea wakati la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 65 baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Francis Coquelin dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional scenes at Anfield as Diogo Jota's sons lead the teams out as
mascots for game between former Liverpool forward's two former teams
-
Dinis and Duarte, two of Jota and Rute Cardoso's three children, will take
to the pitch in Merseyside prior to the 3pm kick-off in what is set to be
an emo...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment