Nyota wa Hispania, Paco Alcacer (kulia) akishangilia na Lionel Messi baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 23 na 65 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Bao la Sevilla lilifungwa na Guido Pizarro dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Ben Duckett fails to silence critics in torrid start to
England's Fourth Test, visitors get a Christmas surprise - and find an
unlikely source of comfort
-
LAWRENCE BOOTH: Ben Duckett's first innings since his Noosa outing made the
headlines was over in a flash as England struggled in reply to Australia's
152 ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment