Danny Drinkwater akimuinua juu Riyad Mahrez baada ya kufunga bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Christian Fuchs dakika ya 27 na Tom Huddlestone aliyejifunga dakika ya 90, wakati la Hull lilifungwa na Sam Clucas dakika ya 14. Huu ni ushindi wa pili mfululizo tangu imfukuze kocha Claudio Ranieri ikiwa chini ya kocha wa muda, Craig Shakespeare PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment