Danny Drinkwater akimuinua juu Riyad Mahrez baada ya kufunga bao la pili dakika ya 59 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Leicester yalifungwa na Christian Fuchs dakika ya 27 na Tom Huddlestone aliyejifunga dakika ya 90, wakati la Hull lilifungwa na Sam Clucas dakika ya 14. Huu ni ushindi wa pili mfululizo tangu imfukuze kocha Claudio Ranieri ikiwa chini ya kocha wa muda, Craig Shakespeare PICHA ZAIDI GONGA HAPA
DOUGLAS LUIZ interview: 'I've had three managers at Forest. It's difficult
to stay fit because they've all got different methods.' Midfield star on
making it at the City Ground, his Aston Villa soft spot and seeing 'many
bad things' at home in Brazil
-
Wearing his Nottingham Forest Christmas jumper, Douglas Luiz chats happily
and serves meals to more than 150 people who have come to a hub that helps
the n...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment