Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No wonder ticket prices are sky high! FIFA confirm eye-watering World Cup
prize money as fans fume over costs
-
The eye-watering prize fund was approved by the footballing body at a
meeting in Doha on Tuesday ahead of FIFA's annual awards evening.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment