• HABARI MPYA

    Monday, March 20, 2017

    AZAM FC NA MBABANE SWALLOWS KATIKA PICHA JANA SOMHLOLO

    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akipasua katikati ya wachezaji wa Mbabane Swallows jana Uwanja wa Taifa wa Somhlolo mjini Lobamba, Swaziland katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Kombe la Shirikisho Afrika. Azam ilifungwa 3-0 na kutolewa kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ushindi mwembamba wa 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
    Shaaban Iddi wa Azam akiwatoka wachezaji wa Mbabane Swallows
    Winga Ramadhani Singano 'Messi' akipiga mpira katikati ya wachezaji wa Mbabane 
    Beki wa Azam FC, Eraston Nyoni akiwania mpira wa juu dhidi ya mchezaji wa Mbabane 
    Beki Shomary Kapombe akimpita beki wa Mbabane
    Kikosi cha Azam kabla ya mchezo wa jana na Mbabane Swallows
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MBABANE SWALLOWS KATIKA PICHA JANA SOMHLOLO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top