Danielle van de Donk (katikati) akishangilia na mchezaji mwenzake, Kim Little (kulia) baada ya kuifungia mabao matatu Arsenal katika ushindi wa 10-0 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA, England. Mabao mengine yalifungwa na Danielle Carter mawili, Dominique Jansse, Kim Little, Chloe Kelly, Beth Mead na Katie McCabe. Ilikuwa ni siku mbaya kwa ujumla jana kwa Spurs, kwani katika Ligi Kuu ya England wanaume pia ilifungwa 2-1 na Southampton Uwanja wa White Hart Lane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is 50 Cent an Oklahoma fan? Explaining rapper's performance at CFP game
between Oklahoma and Alabama
-
Here is more on why rapper 50 Cent performed at the Oklahoma-Alabama game
in the first round of the 2025 College Football Playoff.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment