Danielle van de Donk (katikati) akishangilia na mchezaji mwenzake, Kim Little (kulia) baada ya kuifungia mabao matatu Arsenal katika ushindi wa 10-0 dhidi ya Tottenham Hotspur usiku wa jana katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA, England. Mabao mengine yalifungwa na Danielle Carter mawili, Dominique Jansse, Kim Little, Chloe Kelly, Beth Mead na Katie McCabe. Ilikuwa ni siku mbaya kwa ujumla jana kwa Spurs, kwani katika Ligi Kuu ya England wanaume pia ilifungwa 2-1 na Southampton Uwanja wa White Hart Lane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Westfield Bondi Junction: Sydney Roosters and Melbourne Storm pay poignant
tribute to victims of horror attack in first match since six people died at
shopping mall
-
Six people died as a result of a stabbing frenzy by Joel Cauchi at
Westfield Bondi Junction, a shopping mall local to the Roosters football
club.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment