Craig Dawson akiwa hewani juu ya Nahodha wa Arsenal, Laurent Koscielny kuifungia West Bromwich Albion bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya timu ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. Dawson alifunga mabao mawili na la tatu dakika ya 75, huku la pili la West Bromwich likifungwa na Hal Robson-Kanu dakika ya 55 na la kufutia machozi la Washika Bunduki wa London, likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
 Dreams FC coach Karim Zito says he will change game plan against Zamalek
in Kumasi
-
Dreams FC coach Abdul Karim Zito is gearing up to tweak his team's strategy
for their upcoming clash against Zamalek SC in Kumasi following their
impressiv...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment