Kiungo Haruna Niyonzima (kushoto) akipiga kasi ya kumpiga chenga kali beki wa Ruvu Shooting, Mau Ally Bofu kabla ya kutia krosi iliyounganishiwa nyavuni na winga Simon Msuva kuipati Yanga bao la kusawazisha katika ushindi wa 2-1 jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Niyonzima amekwishamuacha chini Mau Bofu sasa anakwenda kutia krosi
Niyonzima aliwasisimua mashabiki jana Uwanja wa Uhuru kwa chenga hiyo
Na kwa ujumla Nahodha huyo wa Yanga jana alikuwa katika kiwango kizuri mno kimchezo
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment