• HABARI MPYA

    Thursday, November 10, 2016

    AZAM FC NA MWADUI KATIKA PICHA JANA SHINYANGA

    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka mchezaji wa Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Mwadui Complex, Shinyanga
    Beki wa Mwadui, David Luhende akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam FC, Aggrey Morris 
     Winga wa Azam, mzibabwe Bruce kangwa akimtoka mchezaji wa Mwadui
    Mshambuliaji wa Azam, John Bocco akimtoka mchezaji wa Mwadui
    Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mwadui, David Luhende
    Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA MWADUI KATIKA PICHA JANA SHINYANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top