• HABARI MPYA

    Sunday, February 07, 2016

    ARSENAL YANG'ARA UGENINI ENGLAND, YAICHAPA 2-0 BOURNEMOUTH

    Nyota wa Arsenal, Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alex Oxlade Chamberlain PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YANG'ARA UGENINI ENGLAND, YAICHAPA 2-0 BOURNEMOUTH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top