Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kebbi ADC factional chairman loyal to Malami arraigned for alleged contempt
-
A factional Chairman of the African Democratic Congress (ADC), Safiyyanu
Bala, has been arraigned before a Magistrates’ Court in Birnin Kebbi over
allege...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment