• HABARI MPYA

    Sunday, February 21, 2016

    RONALDO AKOSA PENALTI, REAL YATOA SARE 1-1 LA LIGA NA MALAGA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKOSA PENALTI, REAL YATOA SARE 1-1 LA LIGA NA MALAGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top