• HABARI MPYA

    Saturday, February 20, 2016

    ARSENAL YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA HULL CITY KOMBE LA FA

    Beki wa kati wa Arsenal, Laurent Koscielny (kushoto) akiondoka na mpira dhidii ya mchezaji wa Hull City, Adama Diomande katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA jioni ya leo Uwanja wa Emirates, London. Timu hizo zilitoka 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA HULL CITY KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top