Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Aston Villa CAN win the title: The genius of Unai Emery, the crisis
talks that turned their season around, the qualities Emery is banking on
Tammy Abraham and Douglas Luiz bringing and club's hardline stance over
Morgan Rogers
-
No Premier League story can ever match Leicester City's glorious march to
the title a decade ago, but if Aston Villa were to emulate them in May it
would r...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment