Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Willian Borges Da Silva (kushoto) akishangilia baada ya kufunga dhidi ya Manchester City dakika ya 48 katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England Uwanja wa Stamford Bridge, London leo. Mabao mengine ya Chelsea inayotinga Robo fainali kwa matokeo hayo yamefungwa na Diego Da Silva Costa dakika ya 35, Gary Cahill dakika ya 53, Eden Hazard dakika ya 67 na Bertrand Traore dakika ya 89, huku la Man City likifungwa na David Faupala dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment