• HABARI MPYA

    Thursday, February 25, 2016

    MANCHESTER YANG'ARA ULAYA, YAICHAPA DYNAMO KIEV 3-1

    Kikosi cha Manchester City kilichoifunga mabao 3-1 Dynamo Kiev katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana mjini Kiev. Mabao ya City yalifungwa na Sergio-Aguero, David-Silva na Yaya Toure, wakati la Dynamo lilifungwa na Vitaliy Buyalskiy PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANCHESTER YANG'ARA ULAYA, YAICHAPA DYNAMO KIEV 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top