• HABARI MPYA

    Monday, February 29, 2016

    CAF 'YAMPELEKA' THOMAS ULIMWENGU ST GEORGE YA ETHIOPIA

    MABINGWA wa Afrika, TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wataanza kutetea taji lao kwa kumenyana na St George ya Ethiopia katika hatua ya timu 32 Bora.
    Timu hiyo ya mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu itaanzia ugenini Machi 11, mwaka huu kabla ya kurudiana mjini Lubumbashi, wiki moja baadaye.
    Thomas Ulimwengu ataanza kutetea taji la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ST George

    RATIBA KAMILI 32 BORA LIGI YA MABINGWA AFRIKA 


    Jumamosi Machi, 2016
    Warri WolvesvEl MerreikhTBC
    Olympique KhouribgavES SahelTBC
    Stade MalienvCoton Sport FCTBC
    US DoualavZamalekTBC
    AS Vita ClubvClube Ferroviário de MaputoTBC
    APR FCvYoung AfricansTBC
    St. GeorgevTP MazembeTBC
    Jumapili Machi 13, 2016
    Mamelodi SundownsvAC LeopardsTBC
    Zesco UnitedvHoroya A.CTBC
    Club AfricainvMO BéjaïaTBC
    Etoile du CongovES SetifTBC
    Recreativo do LibolovAl AhlyTBC
    Ahly TripolivEl HilalTBC
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAF 'YAMPELEKA' THOMAS ULIMWENGU ST GEORGE YA ETHIOPIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top