• HABARI MPYA

    Monday, July 14, 2014

    MESSI ALIVYOKOSA BAO LA WAZI, ALIWAOTOKA VIZURI MABEKI WA UJERUMANI, LAKINI...

    Anapasua: Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akiatoka mabeki wa Ujerumani katika Fainali ya Kombe la Dunia usiku huu Uwanja wa Maracana, Rio de Jenerio, Brazil, Ujerumani ilishinda 1-0Taking aim: Messi strikes the ball towards goal with his trusty left foot
    Messi alifanikiwa kufumua shut zuri kwa guy lake la kushotoGetting the shot off: Now Messi can only watch as the ball goes towards Germany's goal
    Shuti la Messi lilikwenda kasi langoni mwa UjerumaniAgonising: Messi (left) watches as the ball rolls just wide of Neuer's far post
    Bahati mbaya likatoka nje sentimita chache kama anavyolishuhudia kipa Manuel Neuer wa Ujerumani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI ALIVYOKOSA BAO LA WAZI, ALIWAOTOKA VIZURI MABEKI WA UJERUMANI, LAKINI... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top