• HABARI MPYA

    Monday, July 14, 2014

    AMBAVYO GONZALO HIGUAIN HAKUWA NA BAHATI

    Haikuwa bahati: Mshambuliaji wa Argentina, Gonzalo Higuain akitumbukiza mpira nyavuni dakika ya 32, lakini hata hivyo kibendera kikanyooshwa kwamba alikuwa amoeteaEcstasy: Higuain (right) runs off to celebrate - but his joy was short-lived
    Higuain (kulia) akijiandaa kushangilia, kabla ya mshika kibendera kumkata mainiNot so fast: Higuain and Rojo run off arms aloft but it did not count
    Higuain na Rojo wakikimbia kushangilia 'bao hewa'Collision: Manuel Neuer (centre) cleans out Gonzalo Higuain on the edge of the area after punching clear
    Kipa Manuel Neuer (katikati) alitoka kuokoa mpira dhidi ya Gonzalo Higuain na akamchezea rafu kwenye mstari wa kuingia eneo la hatari, kabla ya kuupangua mpira.On the way down: Neuer and Higuain following their clash in the second half
    Lakini refa aliweka mpira upigwe kuelekea lango la Argentina, kana kwamba Higuain ndiye aliyecheza rafu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AMBAVYO GONZALO HIGUAIN HAKUWA NA BAHATI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top