Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
What will happen to British basketball amid NBA plans?
-
The NBA's plans to launch a European league are gaining momentum as it eyes
a potential 2027-28 season launch
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment