• HABARI MPYA

    Monday, July 28, 2014

    LIVERPOOL YAUA 1-0, MAMBO YA DOGO RAHEEM STERLING

    Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAUA 1-0, MAMBO YA DOGO RAHEEM STERLING Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top