• HABARI MPYA

    Tuesday, July 22, 2014

    JAMES RODRIGUEZ AFUZU VIPIMO VYA AFYA REAL MADRID

    MFUNGAJI bora wa Kombe la Dunia, James Rodriguez amefuzu vipimo vya afya kuelekea usajili wake wa Pauni Milioni 60 Real Madrid.
    Rodriguez alitikisa kwenye Kombe la Dunia baada ya kutwaa Kiatu cha Dhahabu kwa mabao yake sita akiwa na timu yake ya taifa, Colombia.
    Na sasa mchezaji huyo anakwenda kuungana na magalactico Cristiano Ronaldo na Gareth Bale kuunda moja ya safu kali kabisa za ushambuliaji duniani
    Furaha kuwa hapa: James Rodriguez akionyesha dole wakati anaingia kufanyiwa vipimo vya afya Real Madrid
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JAMES RODRIGUEZ AFUZU VIPIMO VYA AFYA REAL MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top