• HABARI MPYA

    Thursday, July 24, 2014

    AZAM FC YAILAZA 1-0 RUVU SHOOTING CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu akimtoka beki wa Ruvu Shooting katika mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0 bao pekee la chipukizi Bryson Raphael kipindi cha pili.
    Leonel Saint-Preux wa Azam akimtoka beki wa Ruvu Shooting
    Beki wa Ruvu Shooting, Stefano Mwasyika akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbangu
    Kiungo aliyekuja majaribio, Serge Lofo akipiga mpira katikati ya wachezaji wa Ruvu
    Joseph Peterson aliyekuja majaribio kutoka Haiti akimuondoa njiani kiungo wa Ruvu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAILAZA 1-0 RUVU SHOOTING CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top