Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
What will happen to British basketball amid NBA plans?
-
The NBA's plans to launch a European league are gaining momentum as it eyes
a potential 2027-28 season launch
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment