• HABARI MPYA

    Saturday, July 26, 2014

    RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO


    Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO NA MAYWEATHER WALIPOKUTANA...DUNIA YOTE YAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top