Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment