Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Chelsea will 'rival Man City for Jamal Musiala' as Blues look to 'bring
former youth star back to England' after starring for Bayern Munich
-
Chelsea are ready to rival Manchester City for Jamal Musiala as Premier
League clubs keep tabs on the Bayern Munich star who has two years
remaining on his...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment