Magwiji walipokutana: Cristiano Ronaldo ameposti picha hii kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na bondia Floyd Mayweather baada ya kukutana naye leo na kuandika; "Safi kujiachia na bingwa". Mreno Ronaldo anayechezea Real Madrid ni Mwanasoka Bora wa Dunia, wakati Mmarekani Mayweather ni bingwa wa dunia ambaye hajawahi kupigwa katika ndondi za kulipwa.
Footy club gets blasted over Mad Monday costumes showing player dressed as
a schoolgirl being sexually assaulted by an AFL star
-
A senior women's football player has walked away from her club after a Mad
Monday stunt involving the men's team.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment