• HABARI MPYA

    Saturday, July 26, 2014

    'SIMBA JIKE' ANAVYOTULIAGA KWENYE BUSU...

    Shabiki maarufu wa kike wa Simba SC, Fii akipigwa busu na shabiki mwenzake Uwanja wa Karume asubuhi ya leo wakati wa mchezo wa Robo Fainali mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Kombe la Rollingston dhidi ya Azam FC iliyoshinda kwa penalti 3-2 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'SIMBA JIKE' ANAVYOTULIAGA KWENYE BUSU... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top