• HABARI MPYA

    Tuesday, July 29, 2014

    NAYMAR AFANYA MATANUZI BAADA YA KUPONA MGONGO ULIOIPONZA BRAZIL KUBORONGA KOMBE LA DUNIA

    MSHAMBULIAJI wa Brazil, Neymar amepona maumivu ya mgomgo aliyoyapata kwenye Kombe la Dunia na nyota huyo wa Barcelona amekwenda kula bata na mpenzi wake Bruna Marquezine nchini Hispania.
    Wapendanao hap walikuwa wakifuarahia maisha katika fukwe za Ibiza huku Neymar - amefunga kitu cha kuuzuia mgongo wake.
    Neymar alikosa mechi mbili za mwisho za nchi yake baada ya kuumia mgongo katika Robo Fainali dhidi ya Colombia.

    Kinga: Mshambuliaji wa Brazil, Neymar akienda kuoegelea huku amevaa kitu cha kuzuia mgomgo wake alioumia
    Chilled: Neymar relaxes with his girlfriend Bruna Marquezine in Ibiza
    Neymar akipoga gumzo na mpenzi wake Bruna Marquezine huko Ibiza
    Bit of support: Neymar shows off the back support he is wearing whilst he recovers from injury
    Neymar na mpenzi wake Ibiza
    Popular: Neymar stopped by fans on the beach after pictures
    Mashabiki wakiwa wamemzunguka Neymar ili kupoiga naye picha
    Paddle: Bruna having a dip in the sea
    Paddle: Bruna having a dip in the sea
    Bruna kwa raha zake katika fukwe za Ibiza
    Boating: Neymar and Co go for a sail
    Neymar na washirika wake wakiwa kwenye boti
    At sea: The couple head out to water
    Wapenzi hao wakichezea maji
    Disembarking: Neymar climbing out of the boat
    Neymar akiruka kushuka kwenye boti
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAYMAR AFANYA MATANUZI BAADA YA KUPONA MGONGO ULIOIPONZA BRAZIL KUBORONGA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top