Olivier Giroud akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 28 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Watford, mabao mengine yakifungwa na Willian dakika ya 43 kwa penalti na Ross Barkley dakika ya 90 na ushei kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea inafikisha pointi 57 baada ya ushindi huo na kurejea nafasi ya nne, ikiizidi pointi mbili Manchester United baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment