Winga chipukizi, Bukayo Saka akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 43, kabla ya Alexandre Lacazette kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Molineux. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 49 na kupanda nafasi moja hadi ya saba, sasa ikizidiwa pointi moja na Wolves baada ya timu zote kucheza mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland handed 2am kick-off for World Cup opener against Haiti in
Boston... and must face Brazil in the baking heat of Miami
-
The Tartan Army will be asked to burn the midnight oil during next summer's
World Cup after Scotland were handed a series of late-night kick-off slots.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment