KOCHA MPYA WA YANGA SC ALIVYOWASILI LEO NA MOJA KWA MOJA KUIFUATA TIMU ZANZIBAR
Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC, Antonio Nugaz (kulia) baada ya kumpokea kocha mpya mtarajiwa wa klabu hiyo, Mbelgiji, Luc Aymael (kushoto) aliyewasili Dar es Salaam leo na moja kwa moja kwenda kuungana na timu visiwani Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi
Luc Aymael anakuja Yanga baada ya kuzifundisha klabu za AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Missile ya Gabon, AFC Leopard ya Kenya, Rayon Sport ya Rwanda, JS Kairouan ya Tunisia, Al Nasr ya Dubai, Al Merreikh ya Sudan, Polokwane City, Free State Stars, Black Leopard za Afrika Kusini na Tala'ea El Gaish ya Misri
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment