KOCHA MPYA WA YANGA SC ALIVYOWASILI LEO NA MOJA KWA MOJA KUIFUATA TIMU ZANZIBAR
Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC, Antonio Nugaz (kulia) baada ya kumpokea kocha mpya mtarajiwa wa klabu hiyo, Mbelgiji, Luc Aymael (kushoto) aliyewasili Dar es Salaam leo na moja kwa moja kwenda kuungana na timu visiwani Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi
Luc Aymael anakuja Yanga baada ya kuzifundisha klabu za AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Missile ya Gabon, AFC Leopard ya Kenya, Rayon Sport ya Rwanda, JS Kairouan ya Tunisia, Al Nasr ya Dubai, Al Merreikh ya Sudan, Polokwane City, Free State Stars, Black Leopard za Afrika Kusini na Tala'ea El Gaish ya Misri
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment