Angel Correa akipongezwa na Koke baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza 3-2 Barcelona katika Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Koke dakika ya 46 na Alvaro Morata kwa penalti dakika ya 81, wakati ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 51 na Antoine Griezmann dakika ya 62. Atletico sasa itamenyana na mahasimu wao wa Jiji, Real Madrid katika fainali Jumapili hapo hapo King Abdullah Sports City, Jeddah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment