Angel Correa akipongezwa na Koke baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza 3-2 Barcelona katika Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Koke dakika ya 46 na Alvaro Morata kwa penalti dakika ya 81, wakati ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 51 na Antoine Griezmann dakika ya 62. Atletico sasa itamenyana na mahasimu wao wa Jiji, Real Madrid katika fainali Jumapili hapo hapo King Abdullah Sports City, Jeddah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian Birrell needs to stop fooling himself
-
There is something laughable about Western columnists who act as if
President Kagame owed them something. Ian Birrell’s latest *article* where
he laments...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment