Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Napoli, Marek Hamisk na Jose Callejon katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjii Napoli. Timu hizo zilifungana 1-1, PSG wakitangulia kwa bao la Juan Bernat dakika ya 45 na ushei, kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia Napoli kwa penalti dakika ya 62, kufuatia Jose Callejon kuchezewa rafu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The question on every Aussie cricket fan's lips is answered as team reveals
Boxing Day Test replacements for Pat Cummins and Nathan Lyon
-
Australia will once again be without Lyon and Cummins after their
match-turning efforts as the Aussies secured the urn in Adelaide.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment