Wachezaji wa Barcelona wakimpongeza Malcom Filipe Silva de Oliveira baada ya kufunga bao dakika ya 83 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Inter Milan usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan.
Inter ilisawazisha kupitia kwa Mauro Icardi anayetakiwa na Real Madrid dakika ya 87 na kwa matokeo hayo, Barcelona inajihakikishia kufuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inter ilisawazisha kupitia kwa Mauro Icardi anayetakiwa na Real Madrid dakika ya 87 na kwa matokeo hayo, Barcelona inajihakikishia kufuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment