Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay akipambana na mchezaji wa Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Dries Mertens alianza kuifungia Ubelgiji dakika ya tano, kabla ya Arnaut Groeneveld kuisawazishia Uholanzi dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid eye Jurgen Klopp and Mauricio Pochettino as potential next
managers - if they sack Alvaro Arbeloa after Champions League exit to
Bayern Munich
-
TOM COLLOMOSSE: Madrid were knocked out of the Champions League by Bayern
Munich on Wednesday and are nine points adrift of Barcelona in La Liga.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment