Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay akipambana na mchezaji wa Ubelgiji katika mchezo wa kirafiki usiku wa Jumanne Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussels timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Dries Mertens alianza kuifungia Ubelgiji dakika ya tano, kabla ya Arnaut Groeneveld kuisawazishia Uholanzi dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea put nine past Liverpool in Women's League Cup
-
Chelsea hammer Liverpool 9-1 to reach the Women's League Cup semi-finals,
while Manchester City, Manchester United and Arsenal also progress.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment