Antoine Griezmann akiinua mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote mawili Ufaransa dakika ya 62 akimalizia pasi ya beki Lucas Hernández na dakika ya 80 kwa penalti baada ya Blaise Matuidi kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la Ujerumani lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 14 kwa penalti pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Martin Odegaard's return to form could be the perfect Christmas gift
for Mikel Arteta, writes ISAAN KHAN - and how the Arsenal captain will help
handle Manchester City's pressure
-
ISAAN KHAN AT THE HILL DICKINSON STADIUM: Arsenal have been patiently
waiting for the old Martin Odegaard to finally reappear.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment