Beki wa CSKA Moscow, Ilzat Akhmetov akiutelezea mpira miguuni mwa kiungo wa Los Blancos, Marco Asensio pembezoni mwa Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. CSKA Moscow ilishinda 1-0, bao pekee la Nikola Vlasic anayecheza kwa mkopo kutoka Everton dakika ya pili tu hivyo Real Madrid kufikisha mechi tatu za kucheza bila kufunga bao kwa mara ya kwanza tangu Januari mwaka 2007 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as the Blues are without keyman Estevao Willian for their trip to
St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates a Newcastle host Chelsea at St James' Park in the Premier League.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment