David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp Slams Translator over Wrong Jordan Henderson Quote
-
Liverpool manager Jurgen Klopp was annoyed after a German translator
misquoted Jordan Henderson during a press conference previewing the clash
with Red Bul...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment