David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment