David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Is 50 Cent an Oklahoma fan? Explaining rapper's performance at CFP game
between Oklahoma and Alabama
-
Here is more on why rapper 50 Cent performed at the Oklahoma-Alabama game
in the first round of the 2025 College Football Playoff.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment