Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Maguire's passion project ahead of NRL premiership defence with the
Broncos - 'he is one of the best minds in Australian sport'
-
Michael Maguire has revealed his passion project as the premiership-winning
coach looks to take the Broncos to back-to-back NRL titles in 2026.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment