• HABARI MPYA

    Tuesday, October 16, 2018

    BRAZIL WAICHAPA ARGENTINA 1-0 BA KUTWAA KOMBE JEDDAH

    Neymar akiwa ameshika Kombe pamoja na Roberto Firmino baada ya ushinid mwembamba wa Brazil wa 1-0 dhidi ya Argentina usiku wa leo bao pekee la Joao Miranda dakika ya 90 na ushei Uwanja wa King Abdullah Sports City mjini Jeddah, Saudi Arabia katika mchezo wa kirafiki 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRAZIL WAICHAPA ARGENTINA 1-0 BA KUTWAA KOMBE JEDDAH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top