Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la tatu dakika ya 52 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Tatu Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Slaski mjini Chorzow. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo yalifungwa Andre Silva dakika ya 31 na Kamil Glik aliyejifunga dakika ya 42, wakati ya Poland yalifungwa na Krzysztof Piatek dakika ya 18 na Jakub Błaszczykowski dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Tevez, 40, rushed to hospital in Buenos Aires after suffering chest
pains... with the ex-Man United and Man City forward kept in overnight
-
The 40-year-old, one of only 14 footballers to play for both Manchester
United and Manchester City, spent the night at a clinic in the
neighbourhood of San...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment