• HABARI MPYA

    Friday, October 12, 2018

    MARTINEZ, PEREYRA WAFUNGA ARGENTINA YAIFUMUA IRAQ 4-0

    Mshambuliaji wa Argentina, Lautaro Martinez akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Iraq usiku wa jana Uwanja wa Prince Faisal bin Fahd  mjini Riyadh. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Roberto Pereyra dakika ya 53, German Pezzella dakika ya 82 na Franco Cervi dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARTINEZ, PEREYRA WAFUNGA ARGENTINA YAIFUMUA IRAQ 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top